Daladala-muda wabadilishwa

Hii ni kuwafahamisha watazamaji wa Tanzania kwamba muda wa kipindi cha Daladala kinachorushwa na TBC 1 umebadilishwa. Kipindi hiki sasa kinarushwa hewani kila siku kupitia kituo hichohicho kuanzia saa 12:00 mpaka saa 12:30 jioni. Marudio ya wiki nzima yataonyeshwa siku ya Jumapili saa 9:00 alasiri. Mabadiliko haya yamefanyika ili kuwapa fursa Watanzania wengi zaidi kutazama wananchi wenzao wakitoa maoni na dukuduku zao kuhusu masuala yanayohusu maisha yao ya kila siku.
Endelea kusoma: Daladala TV TBC
unaweza pia kupenda...
- Daladala TV yazinduliwa (17 Jun 2010)
- Zabuni za kuendesha taftishi wananchi kwa simu ya mkononi inatangazwa (20 Jan 2012)
- Nafasi mpya za kazi zinapatikana Tanzania, Kenya na Uganda! (21 Dec 2011)
- Wekeni bajeti wazi wa umma, Serikali zaambiwa (21 Nov 2011)
- Sasa ShujaazFM ipo YouTube (21 Nov 2011)
- Ushirikiano wa Serikali Zilizo Wazi Waanza Kazi Afrika Mashariki (25 Oct 2011)
- Uwezo Tanzania 2011: Watoto wetu bado hawajifunzi (15 Sep 2011)

