Twaweza.org

Tuboreshe viwango vya elimu ya msingi, si idadi

The Guardian, la Tanzania, linaandika kuwa Serikali inapaswa kurudufu juhudi zake za kuboresha elimu ya msingi kupitia matokeo ya utafiti wa Uwezo wa Ufahamu na Hisabati Afrika Mashariki. Ikinukuu utafiti, makala inasisitiza kuwa, “wahitimu wengi wa shule za msingi Uganda, Kenya na Tanzania hawajui kusoma and hawawezi kufanya Hisabati zinazopaswa kufanywa na mwanafunzi wa darasa la pili.” Makala inatoa rai hakuna budi kutoa umuhimu unaostahili kwa kiwango cha elimu ya msingi kwa kuwa kwa watoto wengi wa Tanzania hiyo ndiyo elimu rasmi pekee watakayopata katika maisha yao.” Soma zaidi.

Endelea kusoma: agency elimu Afrika Mashariki meta sticky ripoti ya Uwezo Afrika Mashariki Uwezo vyombo vya habari Afrika Mashariki

unaweza pia kupenda...

 

Tafsiri