Zabuni za kuendesha taftishi wananchi kwa simu ya mkononi inatangazwa
Teknolojia ya simu ina uzuri katika kukusanya taarifa kwa bei nafuu, na kwa njia rahisi na sikivu zaidi katika kubadilisha taarifa kwa hitaji la huduma za ufuatiliaji, utoaji huduma na uwajibikaji. Kwa kutumia wazo hili, Uwazi iliyopo Twaweza wanataka kutekeleza taftishi kwa kutumia masafa ya mtandao wa simu za mikononi. Kaya zitachaguliwa kuwakilisha taifa zima kwa kuanza na nyumba 1500 Tanzania. Taarifa zitakazokusanywa kwa njia hii itaujuza umma na kuibua mjadala wenye mashiko kuhusu sera mbalimbali za umma katika Tanzania. Taftishi ya Wananchi inakaribisha maombi toka kampuni za utafiti ili kufanya kazi hii. Soma zaidi.
Endelea kusoma: taftishi wananchi
pakua nyaraka
- Wananchi Survey concept note |
528.69 KB - Wananchi Survey request for proposal | 233.74 KB
unaweza pia kupenda...
- Nafasi mpya za kazi zinapatikana Tanzania, Kenya na Uganda! (21 Dec 2011)
- Wekeni bajeti wazi wa umma, Serikali zaambiwa (21 Nov 2011)
- Sasa ShujaazFM ipo YouTube (21 Nov 2011)
- Ushirikiano wa Serikali Zilizo Wazi Waanza Kazi Afrika Mashariki (25 Oct 2011)
- Wananchi Wazungumza kuhusu Matokeo ya Kidato cha Nne (14 May 2013)
- Sauti za Wananchi (14 Feb 2013)
- Mpango wa KiuFunza - Kiu ya Kujifunza - Wazinduliwa (2 Feb 2013)

