<?xml version="1.0" encoding="iso-8859-1" ?>
<rss version="2.0" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:georss="http://www.georss.org/georss">
<channel>
<title>Twaweza :: Machapisho :: Twaweza.org</title>
<link>http://twaweza.org</link>
<description>Twaweza.org can make it happen.</description>
<language>sw-sw</language>
<image>
<url>http://twaweza.org/images/twaweza-logo.jpg</url>
<title>Twaweza :: Machapisho :: Twaweza.org</title>
<link>http://twaweza.org</link>
</image>
				<item>
					<title><![CDATA[Kiongozi Asiyewajibika tufanyeje?]]></title>
						<link>http://twaweza.org/index.php?i=433</link>
						<guid isPermaLink="true">http://twaweza.org/index.php?i=433</guid>
		
							<description><![CDATA[<p><br>
	Ukizingatia uchaguzi ulioko mbele yetu, ungependa kiongozi wako awe na sifa gani? Namna gani ungependa madadiliko yatokee katika maisha yako binafsi, familia na marafiki? Upatikanaji wa huduma za jamii je? Unafahamu kiongozi unamchagua anapaswa awe mtumishi wa wananchi? Na baada ya uchaguzi, namna gani utaweza kufanya kuhakikisha anawajibika kwa wapiga kura wake? Kijitabu hiki kimeainisha mengi katika mambo haya. Kimeandaliwa kwa ushirikiano na mashirika ya dini hapa Tanzania. Kujisomea hadithi hii, bonyeza <a href="/uploads/files/Kiongozi%20asiyewajibika-1.pdf">hapa</a>.</p><br>
]]></description>
							<pubDate>Fri, 29 Oct 2010 12:17:00 +0000</pubDate>
				
				</item>
	
				<item>
					<title><![CDATA[Je, sera inafanyiwa kazi? Simulizi toka vijiji 9]]></title>
						<link>http://twaweza.org/index.php?i=332</link>
						<guid isPermaLink="true">http://twaweza.org/index.php?i=332</guid>
		
							<description><![CDATA[<p><br>
	Mtiririko wa mwasilisho huu ulitolewa kwenye Mjadala wa Asubuhi wa Policy Forum Desemba 2009. Unajumuisha uzoefu wa ziara yetu ya &nbsp;vijijini, na hutoa simulizi rahisi kuhusu matatizo tata ya kimaendeleo, kwa kuwaonyesha uso kwa uso watazamaji uhalisia wa hali ilivyo katika vijiji vya ndani kabisa ya Tanzania.</p><br>
]]></description>
							<pubDate>Tue, 08 Jun 2010 10:40:00 +0000</pubDate>
				
				</item>
	</channel>
</rss>