Maelezo mafupi kuhusu barua kutoka Costech kwa Twaweza
12 Jul 2018
hot
|
Matangazo

Imeboreshwa 13 Julai, 2018: Barua yoyote inayofika Twaweza inagongwa muhuri wa kupokelewa rasmi. Kwa hiyo barua inayosambaa mitandaoni hatuitambui kwa sababu haina muhuri wetu wa kuipokea.
Kama tulivyosema hapo awali, barua tumeipokea na tunaifanyia kazi. Twaweza haijasambaza, na haihusiki na usambazaji wa barua hiyo kwenye mitandao ya kijamii.
Barua yoyote inayofika Twaweza inagongwa muhuri wa kupokelewa rasmi. Kwa hiyo barua inayosambaa mitandaoni hatuitambui kwa sababu haina muhuri wetu wa kuipokea.
Tunayaheshimu sana mawasiliano yetu na washirika wetu.
Aidan Eyakuze, Mkurugenzi Mtendaji
Endelea kusoma:
pakua nyaraka
Tafsiri
unaweza pia kupenda...
- Taarifa kuhusu Muswada wa Marekibisho ya Sheria Mbalimbali (Miscellaneous Amendments) No. 3 (2020) (10 Jun 2020)
- Ndoa za Utotoni Hupunguza Ubora wa Maisha kwa Wasichana wadogo na Watoto wao (11 Mar 2020)
- Wanawake wa Mwanga Kusini, Kigoma wanakabiliwa na ubakwaji na ukatili (8 May 2019)
- Tamko kuhusu Marekebisho yanayopendekezwa kwenye Sheria ya Vyama vya Siasa (28 Jan 2019)
- Tukiwathamini walimu, lengo la elimu bora litatimia (13 Nov 2018)
- Maoni kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Takwimu (28 Sep 2018)
- Maelezo mafupi kutoka Twaweza (13 Aug 2018)