Changieni mawazo mjadala wa elimu, Uwezo Kenya yasema
14 Feb 2012
hot
|
Katika vyombo vya habari
Mratibu wa Uwezo Kenya, Dr. John Mugo anawapa moyo Wakenya kusoma ripoti ya hivi karibuni kuhusu mapendekezo ya mabadiliko kwenye mfumo wa elimu wa Kenya na kutoa mawazo yao. Ameliambia The Star kuwa wadau wa elimu wanapaswa kutumia nafasi ya mkutano wa mashauriano kutoa mawazo yao kuhusu sera ya elimu ya nchi hiyo. Soma zaidi.
Endelea kusoma: elimu
pakua nyaraka
Tafsiri
unaweza pia kupenda...
- Tukiwathamini walimu, lengo la elimu bora litatimia (13 Nov 2018)
- Je, watoto wetu wanajifunza? Tathmini ya sita ya Uwezo Tanzania (10 Apr 2017)
- JiElimishe | Uhusiano kati ya matokeo ya kujifunza na utapiamlo (22 Dec 2016)
- Hali Halisi (29 Nov 2016)
- Hali Halisi: Maoni ya wananchi juu ya elimu bila malipo ya ada. (24 Nov 2016)
- Je, watoto wetu wanajifunza? (31 Aug 2016)
- Ufunguo wa maisha? (16 Jul 2016)