Twaweza ni nani?
3 Aug 2018
hot
|
Matangazo

Kwa wiki kadhaa zilizopita, Twaweza imetajwa sana na kujadiliwa katika vyombo vya habari na katika mijadala mbali mbali ya umma. Kwa kipindi chote hicho tumekuwa kimya ili kujipatia muda wa kutafakari masuala yote haya kwa kina. Lengo kuu la mkutano wa leo ni kuujulisha umma Twaweza ni nini, tunafanya nini na tunasimamia misingi gani katika utekelezaji wa majukumu yetu. Kupitia mkutano huu tunaamini kwamba tutajibu tashwishwi na maswali mengi ya umma yanayoonekana kuelea bila majibu sahihi.
Soma zaidi: Tamko la Twaweza
Endelea kusoma:
pakua nyaraka
- Twaweza Ni Nani? | Press Release |
479.89 KB
- Who is Twaweza? | Press Release |
486.65 KB
Tafsiri
unaweza pia kupenda...
- Taarifa kuhusu Muswada wa Marekibisho ya Sheria Mbalimbali (Miscellaneous Amendments) No. 3 (2020) (10 Jun 2020)
- Ndoa za Utotoni Hupunguza Ubora wa Maisha kwa Wasichana wadogo na Watoto wao (11 Mar 2020)
- Wanawake wa Mwanga Kusini, Kigoma wanakabiliwa na ubakwaji na ukatili (8 May 2019)
- Tamko kuhusu Marekebisho yanayopendekezwa kwenye Sheria ya Vyama vya Siasa (28 Jan 2019)
- Tukiwathamini walimu, lengo la elimu bora litatimia (13 Nov 2018)
- Maoni kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Takwimu (28 Sep 2018)
- Maelezo mafupi kutoka Twaweza (13 Aug 2018)