Zabuni za kuendesha taftishi wananchi kwa simu ya mkononi inatangazwa
20 Jan 2012
hot
|
Matangazo
Teknolojia ya simu ina uzuri katika kukusanya taarifa kwa bei nafuu, na kwa njia rahisi na sikivu zaidi katika kubadilisha taarifa kwa hitaji la huduma za ufuatiliaji, utoaji huduma na uwajibikaji. Kwa kutumia wazo hili, Uwazi iliyopo Twaweza wanataka kutekeleza taftishi kwa kutumia masafa ya mtandao wa simu za mikononi. Kaya zitachaguliwa kuwakilisha taifa zima kwa kuanza na nyumba 1500 Tanzania. Taarifa zitakazokusanywa kwa njia hii itaujuza umma na kuibua mjadala wenye mashiko kuhusu sera mbalimbali za umma katika Tanzania. Taftishi ya Wananchi inakaribisha maombi toka kampuni za utafiti ili kufanya kazi hii. Soma zaidi.
Endelea kusoma:
pakua nyaraka
- Wananchi Survey concept note |
528.69 KB
- Wananchi Survey request for proposal | 233.74 KB
Tafsiri
unaweza pia kupenda...
- Taarifa kuhusu Muswada wa Marekibisho ya Sheria Mbalimbali (Miscellaneous Amendments) No. 3 (2020) (10 Jun 2020)
- Ndoa za Utotoni Hupunguza Ubora wa Maisha kwa Wasichana wadogo na Watoto wao (11 Mar 2020)
- Wanawake wa Mwanga Kusini, Kigoma wanakabiliwa na ubakwaji na ukatili (8 May 2019)
- Tamko kuhusu Marekebisho yanayopendekezwa kwenye Sheria ya Vyama vya Siasa (28 Jan 2019)
- Tukiwathamini walimu, lengo la elimu bora litatimia (13 Nov 2018)
- Maoni kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Takwimu (28 Sep 2018)
- Maelezo mafupi kutoka Twaweza (13 Aug 2018)