Read More
0 Comment
113 Views

Three out of ten households in Kenya access their drinking water from unsafe sources

Nationally, four out of 10 households (41%) access their drinking water from a piped supply, and a further three out of ten households (28%) have access to another form of “improved” water supply, such as a borehole or protected well or spring. Three out of ten (31%) access drinking water from either a surface source such as a river or lake (20%) or another type of “unimproved” source (11%).

Read More
Read More
0 Comment
230 Views

Mpango wa Motisha kwa Walimu unaotekelezwa na Twaweza umesaidia zaidi ya wanafunzi 77,000 katika kuboresha umahiri wao kwenye stadi za Kusoma na Kuhesabu

Wiki hii, walimu kaka shule za msingi 265 kwenye mikoa 11 ya Tanzania wamepokea jumla ya shilingi milioni 401 kwenye akaun zao za benki ikiwa ni mosha kulingana na utendaji wao. Kiwango cha motisha wanayolipwa walimu kinategemea umahiri uliooneshwa na wanafunzi wao katika majaribio ya kusoma na kuhesabu yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka wa masomo – 2023.

Read More