Ready to vote?
This brief presents data on citizens’ experience and opinions on preparations for the August 2022 election.
Read MoreThis brief presents data on citizens’ experience and opinions on preparations for the August 2022 election.
Read MoreKwa kutumia mbinu inayojulikana kama uraghbishi, Twaweza na KASODEFO zilifanya kazi ya kuwabaini na kutoa mafunzo kwa mawakala wa mabadiliko ya jamii, kufanya utafiti shirikishi na makundi mbalimbali ndani ya jamii, kuandaa na kutekeleza mipangokazi ya pamoja kuyashughulikia masuala yaliyoibuliwa.
Read MoreMtandao wa Sekta ya Ubunifu Tanzania Ujulikanao kama “The Creative Industry Network Tanzania(CINT), kwa kushirikiana na Twaweza, wanatoa wito kwa serikali na Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA kuangalia upya utaratibu wao wa kugawa mirabaha kwa wasanii.
Read MoreTwaweza inafanya kazi na Pangani Coast Paralegal (PACOPA), mamlaka ya serikali za mitaa na wakazi wa Pangani kuboresha ushirikiano kati ya wananchi na mamlaka mbalimbali ili kwa pamoja waweze kuboresha huduma, kuimarisha uwezo wa serikali za mitaa na kuboresha ushiriki wa wananchi.
Read More