Watanzania walio wengi hawana habari kuhusu Kodi ya SIM
Wakati mngurumo wa mjadala kuhusu Kodi ya SIM ukiwa unaendelea, Twaweza ilitumia utafiti wake wa Sauti za Wananchi, utafiti unaokusanya takwimu kwa njia ya simu za mkononi, kupima uelewa wa wananchi kuhusu suala hilo na kupata maoni yao.
Read More