Twaweza
  • search
  • Menu Canvas
    • Home
    • About Us
      • Team and Partners
      • Contact Us
    • How We Think
    • Demonstrating Citizen Agency
    • Amplifying Citizen Voices
      • Sauti za Wananchi
    • Protecting Civic Space
      • Citizens and Governments
    • Learning By Doing
      • Monitoring
      • Culture of Learning
      • Evaluation
      • Formative Research
      • KiuFunza
        • What is KiuFunza?
        • How it works?
        • Our impact
Twaweza
  • Home
  • About Us
    • Team and Partners
    • Contact Us
  • How We Think
  • Demonstrating Citizen Agency
  • Amplifying Citizen Voices
    • Sauti za Wananchi
  • Protecting Civic Space
    • Citizens and Governments
  • Learning By Doing
    • Monitoring
    • Culture of Learning
    • Evaluation
    • Formative Research
    • KiuFunza
      • What is KiuFunza?
      • How it works?
      • Our impact
  • search

Tamko kutoka Wenyeviti Wenza wa Kamati ya Utendaji ya Open Government Partnership (OGP) kuhusu Ukraine.

Homepage Blogs Tamko kutoka Wenyeviti Wenza wa Kamati ya Utendaji ya Open Government Partnership (OGP) kuhusu Ukraine.
Blogs, Citizens and Governments, Protecting civic space

Tamko kutoka Wenyeviti Wenza wa Kamati ya Utendaji ya Open Government Partnership (OGP) kuhusu Ukraine.

2022-03-01
By Twaweza
0 Comment
2067 Views

“Tunalaani vikali shambulio dhidi ya nchi ya Ukraine, ambayo ni nchi mwanachama wa Open Government Partnership (OGP) tangu mwaka 2011, pasipo wao kufanya uchokozi wowote dhidi ya Urusi. Tunatoa wito kwa jumuia zote zinazoheshimu misingi ya serikali ya uwazi kukemea shambulio hili kwa haraka na nguvu zote.

Kama mwanachama wa OGP, Ukraine imekuwa ikipiga hatua madhubuti kuimarisha demokrasia yao, na kusukuma mbele maendeleo ya nchi yao. Yamekuwepo mageuzi ya kupigiwa mfano katika nyanja mbalimbali kama vile uuzaji na ununuaji wa mali za umma. Kazi hii imekuwa ikifanywa kwa ubia mkubwa kati ya serikali, asasi za kiraia na vyombo vya habari. Ukraine imekuwa nchi ya kupigiwa mfano na wengi wanaotaka kufuata mwenendo wa jitihada za nchi hiyo.

Wanamageuzi wa ndani na nje ya serikali ya Ukraine wameonesha ujasiri mkubwa na ustahimilivu wa hali ya juu hasa pale ambapo pamekuwepo na vitisho vingi kutoka nje ya nchi. Tunasimama pamoja na watu wa Ukraine wakati huu mgumu wanapokabiliana na uvamizi wa nje unaolenga kudhoofisha matumaini yao, kubadilisha uongozi uliopo madarakani na unaokumbatia mageuzi na taasisi za kidemokrasia na kuharibu kazi yote nzuri ambayo imekuwa ikiifanya Ukraine kuwa nchi ya kidemokrasia inayowahudumia vyema wananchi wake.

Kama Jumuiya, yatupasa kufanya kila liwezekanalo kuisaidia na kuilinda Ukraine.”

Imetiwa saini na Wenyeviti Wenza wa Open Government Partnership:
Serikali ya Italia
Aidan Eyakuze, Mkurugenzi Mtendaji, Twaweza East Africa
Serikali ya Estonia
Anabel Cruz, Mkurugenzi wa ICD Uruguay

Tags: Civic Space Governance

Previous Story
At the Table or on the Menu?
Next Story
Statement from the Co-Chairs of the OGP Steering Committee on Ukraine

Related Articles

CSOs Condemn Human Rights Violations Before and After the 2025 General Elections in Tanzani

We, the undersigned CSOs, are deeply concerned and strongly condemn...

Reflections from the OGP Summit in Spain

At the Open Government Partnership (OGP) Summit in Spain, Twaweza...

SEARCH

MONTHLY ARCHIVES

RESOURCE TAGS

Access to Information Accountability animation Art Citizen Agency Citizen Voices Civic Space Corruption Education Evaluation Free Expression Governance Government KiuFunza Learning Livelihood Media Monitoring Participation Press Freedom Rights Rule of Law Social services Technology Transparency Twaweza Women Youth

QUICK LINKS

  • BLOG
  • CAREERS
  • CONTACT
  • RESOURCES
  • NEWSLETTER

RECENT POSTS

  • CSOs Condemn Human Rights Violations Before and After the 2025 General Elections in Tanzani
  • Picking up the pieces: In solidarity with all Tanzanians
  • Reflections from the OGP Summit in Spain

TANZANIA

 

KENYA

UGANDA

   

REGIONAL

 
Twaweza East Africa ©2024   | Site by Josiah Wandera  | Photos by Pernille Baerendsten and Deogratius Surah | Privacy Policy
SearchPostsLogin
Friday, 7, Nov
CSOs Condemn Human Rights Violations Before and After the 2025 General Elections in Tanzani
Thursday, 6, Nov
Picking up the pieces: In solidarity with all Tanzanians
Wednesday, 22, Oct
Reflections from the OGP Summit in Spain
Tuesday, 21, Oct
Bugisu leaders grapple with citizens’ priorities
Tuesday, 21, Oct
Stronger data, stronger policies needed to fix Uganda’s service delivery
Saturday, 27, Sep
Harnessing CSO Voice to Amplify Citizens’ Voices on the Status of Devolution

Welcome back,